New Post

Wednesday, July 20, 2022

TANGAZO LA KUITWA KAZINI

 




TO JOIN OUR TELEGRAM GROUP CLICK HERE
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
Kumb. Na. JA.9/259/01/A/127 19 Julai, 2022
TANGAZO LA KUITWA KAZINI

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali Serikalini ambao wametajwa majina yao katika tangazo hili wafahamu kuwa walifaulu usaili na kuhifadhiwa katika kanzidata (Database). Hivyo, kufuatia kufaulu kwao usaili na kupatikana kwa nafasi wazi zinazohitajika kujazwa, wamepangiwa vituo vya kazi katika ofisi mbalimbali katika Utumishi wa Umma.
Waombaji waliofaulu usaili wanatakiwa kuchukua barua za kupangiwa kituo cha kazi katika Ofisi za Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma zilizopo katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwenye Majengo ya Dkt. Asha Rose Migiro, Masjala ya wazi ndani ya siku saba kutoka tarehe ya tangazo hili na baada ya hapo barua ambazo hazijachukuliwa na Wahusika zitatumwa
kupitia anuani zao za Posta.

DOWNLOAD PDF HERE